Miche zaidi ya 1,000+ ya pandwa kuadhimisha siku ya Misitu Duniani
Miti 1,000+ Yapandwa Kitaifa Kuadhimisha Siku ya Misitu Duniani 2023
Green Awareness Club Tanzania | 21 Machi 2023
Shule 7 • Mikoa 7 • Uelimishaji wa Uhifadhi wa Misitu
Kutokana na Siku ya Misitu Duniani (21.03.2023), Green Awareness Club Tanzania iliendesha kampeni ya kitaifa ya upandaji miti katika shule mbalimbali.
Miche zaidi ya 1,000 ilipandwa katika shule 7 zilizopo mikoa 7 tofauti, sambamba na utoaji wa elimu kuhusu utunzaji wa misitu.
Matokeo ya Kampeni
- 0 miche imepandwa
- Shule 7 zimefikiwa
- Mikoa 7 imehusishwa katika kampeni
- Uelimishaji wa uhifadhi wa misitu umetolewa kwa wanafunzi
Aidha, Mwenyekiti Taifa wa Green Awareness Club ametoa shukrani kwa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Chuo cha Misitu Olmotonyi (FTI), halmashauri, na vyombo vya habari kwa ushirikiano.
Matukio kwa Mikoa
DAR ES SALAAM
Shule ya Sekondari Mabibo na Shule ya Msingi Makuburi • miche 150
PWANI
Shule ya Sekondari Mwinyi • miche 100
ARUSHA
Shule ya Msingi Ngorbob – Kisongo • miche 120
KILIMANJARO
Shule ya Msingi Kivulini, Wilaya ya Mwanga • miche 150
GEITA
Shule ya Msingi Ibondo, Wilaya ya Chato • miche 300
DODOMA
Shule ya Msingi NG'ONG'ONA • miche 150
MBEYA
Shule ya Msingi Pambogo • miche 150
Shiriki Nasi Kulinda Misitu Yetu
Jiunge na Green Awareness Club katika kampeni za upandaji miti na uelimishaji wa mazingira ili kuhakikisha Tanzania inabaki kijani.
Jiunge Nasi#SikuYaMisituDuniani #TreePlanting #GreenAwarenessClub #TanzaniaYaKijani