Kituo cha watoto yatima kilivyo dhibiti Changamoto kubwa ya Mazingira kwa njia Rahisi sana
Leo (02.03.2023) Green Awareness Club, tumetembelea kituo Cha watoto yatima Canaan Children Center Arusha ambao wameweza kudhibiti eneo ambalo lilikuwa na Changamoto kubwa ya mmomonyoko wa udongo.
Uliotokana na eneo hilo kukosa uoto wa asili (Miti) inayo sababishwa na Jamii inayo wazunguka kukosa elimu bora ya ufugaji na utunzaji Mazingira.
Dr. Alex Lengeju (Mkurugenzi wa kituo Cha watoto yatima) ameelezea namna walivyo weza kudhibiti Changamoto hiyo ya Kimazingira.
#Arushayakijani #Misitukwanza #Climateaction #evergreen