Usafishaji wa fukwe Kidimbwi beach ( Beach cleanup)

 Leo Tarehe 27.08.2022 Green Awareness Club tulishiriki zoezi la kufanya usafi kwenye ufukwe wa Kidimbwi beach area , Indian ocean tukishirikiana na Environmental conservation community of Tanzania ECCT , Mgeni rasmi akiwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mheshimiwa Godwin Gongwe, ambaye amekuwa akihamasisha jamii na wakazi wa Wilaya ya Kinondoni kushiriki zoezi la usafi Kila mwisho wa mwezi.

Mheshimiwa Godwin Gongwe, akishiriki zoezi la usafi.



Wananchi mbalimbali walio jitokeza.




Kutoka Kushoto: Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni MHE. Godwin Gongwe na Mwenyekiti wa Green Awareness Club Ndugu. Ibrahim Sinsakala.